Timothy Marko.Makamu wa rais Dk Ghalibu Bilali anatatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika matembezi ya hisani yakuchangia gharama za Wahanga wa saratani ya Kizazi yanayotarajiwa kufanyika Jijini Dar es salam mapema mwezi huu.
Kwamujibu wataarifa iliyotolewa na Taasisi yautafiti wa magonjwa ya Binadamu NIRM Mapema hii leo ilieleza kuwa ,matembezi hayo yanalenga ukusanyaji wa fedha kwajiili yakuchangia wahanga wa ugonjwa wa saratani ya shingo yakizazi wapatao 48000 Kwa mwaka .
''Takwimu zinaonesha kuwa katika kipindi mwaka 2002 jumla yawagonjwa milioni 14 wagonjwa 48000 hugundulika kuwa nasaratani yashingo yakizazi ambapo wagonjwa nane hufariki kutokana ugonjwa wa saratani ya kizazi ''Ili eleza taarifa hiyo .
Aidha Taarifa hiyo ilieleza kuwa ugonjwa wa saratani ya kizazi ni yapili wakati huohuo sararatani ya matiti ikiongoza kwa kuwa na wagonjwa wengi ambapo wengi wawagonjwa hao ni wanawake .
Katika hatua nyingine,ripoti hiyo ili eleza kuwa katika ukanda wa afrika mashariki nchi ya Rwanda imekuwa ikitoa chanjo ya saratani ya matiti kwa asilimi 33 na kusitiza kuwa ugonjwa wa saratani unasababishwa nakirusi cha Hypatasis.
Begeja Wushu Club
Thursday, October 8, 2015
Monday, September 28, 2015
IDADI YA MAUZO YA HISA YA SHUKA JIJINI DAR ES SALAAM.
Timothy Marko.
KIWANGO cha mauzo yahisa katika soko lahisa la Dar es salam (DSE)
kimeshuka kutoka shilingi bilioni 6 hadi kufikia blioni mbili kwakipindi cha wiki iliyopita .
akizungumza na waandishi wa habari mapema hii leo jijini Dar es salaam Meneja Biashara na mauzo Wa soko hilo,Patrick Mmsusa amesema kushuka kwa mauzo hayo yahisa jijini Dar es salam kumetokana na serikali kuamua kuuza hisa zake nakuongezeka kwa wawekezaji katika soko hilo la hisa .
''Kiashiria cha soko kimeshuka nakufikia asilimia 0.9 wakati huo huo serikali imeweza kuuza hisa zake ambazo awali alizinunua nakutoka kwenye makampuni mbalimbali hususan akauti ya TBL '' alisema Patrick Mmsusa .
Meneja Patrick Msusa alisema kuwa kampuni zinazo ongoza kwa kuuza hisa nipamoja CRDB ,TBL , nakampuni ya sigara ya TCC,wakati kiashiria cha soko kimeshuka hadi kufikia asilimi0.9
Alisema kuwa soko hilo la hisa limeanzisha huduma maalum ya kuuza hisa zake kwanjia yasimu ambapo mteja atapiga *150*36|\ .
KIWANGO cha mauzo yahisa katika soko lahisa la Dar es salam (DSE)
kimeshuka kutoka shilingi bilioni 6 hadi kufikia blioni mbili kwakipindi cha wiki iliyopita .
akizungumza na waandishi wa habari mapema hii leo jijini Dar es salaam Meneja Biashara na mauzo Wa soko hilo,Patrick Mmsusa amesema kushuka kwa mauzo hayo yahisa jijini Dar es salam kumetokana na serikali kuamua kuuza hisa zake nakuongezeka kwa wawekezaji katika soko hilo la hisa .
''Kiashiria cha soko kimeshuka nakufikia asilimia 0.9 wakati huo huo serikali imeweza kuuza hisa zake ambazo awali alizinunua nakutoka kwenye makampuni mbalimbali hususan akauti ya TBL '' alisema Patrick Mmsusa .
Meneja Patrick Msusa alisema kuwa kampuni zinazo ongoza kwa kuuza hisa nipamoja CRDB ,TBL , nakampuni ya sigara ya TCC,wakati kiashiria cha soko kimeshuka hadi kufikia asilimi0.9
Alisema kuwa soko hilo la hisa limeanzisha huduma maalum ya kuuza hisa zake kwanjia yasimu ambapo mteja atapiga *150*36|\ .
Monday, December 9, 2013
Subscribe to:
Comments (Atom)





